Jumapili, 26 Februari 2023

MASHINE BORA ZA KUSAGA KARANGA KUWA PEANUT BUTTER ZA UMEME

inatumia umeme wa nyumbani, kwa siku inasaga mpaka gunia 6 za karanga zilizokaangwa vizur. kama unatoa huduma kwa jamii, na ukawa unasaga kilo moja kwa 300/= unit moja itakupatia tsh 8000 wakati unit moja tanesco wanauza tsh 300, hivyo utapata faida ya tsh 7700. kwa mawasiliano piga sim 0683628498

Jumanne, 21 Februari 2023

MASHINE YA KUKOBOA KARANGA ZILIZOKAANGWA

Ni mashine inayotumia umeme wa Nyumbani, inakoboa karanga zilizokaangwa kwa ajili ya kusagwa kuwa peanut butter. Ni mashine inatengenezwa na kiwanda cha Tumbo Makufuli Workshop na T.G.M designer, kwa mawasiliano piga sim 0683628498 au kwa email: tumbokabona@gmail.com

CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO VIJANA KATIKA UANZISHAJI WA MIRADI NA SULUHISHO LAKE

Kwa mda mrefu changamoto ya vijana ni mtaji, na hata mwenye mtaji hajui nini afanye. Wengi imepelekea kuishia kumaliza mitaji yao...