Jumanne, 21 Februari 2023
MASHINE YA KUKOBOA KARANGA ZILIZOKAANGWA
Ni mashine inayotumia umeme wa Nyumbani, inakoboa karanga zilizokaangwa kwa ajili ya kusagwa kuwa peanut butter. Ni mashine inatengenezwa na kiwanda cha Tumbo Makufuli Workshop na T.G.M designer, kwa mawasiliano piga sim 0683628498 au kwa email: tumbokabona@gmail.com
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO VIJANA KATIKA UANZISHAJI WA MIRADI NA SULUHISHO LAKE
Kwa mda mrefu changamoto ya vijana ni mtaji, na hata mwenye mtaji hajui nini afanye. Wengi imepelekea kuishia kumaliza mitaji yao...
-
MRADI WA MASHINE YA KUSAGA KARANGA KUWA NTWILI Katika historia ya usagaji karanga, wazee wetu kwenye karne ya kumi na tisa walikuwa wanas...
-
Watu wengi wenye pesa hushindwa au huwa na wakati mgumu katika kufikilia au kuanzisha miradi yenye faida kubwa, ambapo hubaki kuigiliz...
-
MRADI WA KUFYATUA TOFARI Ukuaji wa mji unategemea sana Ukuaji wa sekta ya ujenzi, kila mmoja anawaza kujenga kama sio nyumba basi Itak...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni