Jumanne, 21 Februari 2023

MASHINE YA KUKOBOA KARANGA ZILIZOKAANGWA

Ni mashine inayotumia umeme wa Nyumbani, inakoboa karanga zilizokaangwa kwa ajili ya kusagwa kuwa peanut butter. Ni mashine inatengenezwa na kiwanda cha Tumbo Makufuli Workshop na T.G.M designer, kwa mawasiliano piga sim 0683628498 au kwa email: tumbokabona@gmail.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO VIJANA KATIKA UANZISHAJI WA MIRADI NA SULUHISHO LAKE

Kwa mda mrefu changamoto ya vijana ni mtaji, na hata mwenye mtaji hajui nini afanye. Wengi imepelekea kuishia kumaliza mitaji yao...