Ijumaa, 23 Agosti 2019

UBORA WA JUICE YA MIWA

Inafurahisha kuona kuwa wapo wafanyabiashara wengi maeneo tofauti tofauti Nchini mwetu na mitaa tofauti tofauti wanaouza juisi ya miwa.
Kimsingi juisi hii ni sukari halisia ambayo haijachakatwa.​
Sukari halisia ni nzuri kwa mwili kwani ina virutubisho na madini kwa wingi.



Miwa ina faida nyingi kiafya. Juisi ya miwa inafahamika na wataalamu wa afya kwa kuwa na uwezo wa kuupa mwili nguvu kwa sababu ya ‘glucose’ iliyopo.
Kijiko kimoja cha juisi ya miwa, kina kalori 11. Madini halisi na vitamin zinazopatikana katika sukari ni kama phosphorus, calcium, madini ya chuma na potassium.



Si hivyo tu, miwa ni jamii ya tunda lenye alkali hivyo lina uwezo wa kupambana na saratani hasa ile ya kibofu cha mkojo na saratani ya maziwa.
Miwa ina upekee wake kwani ina uwezo wa kuongeza maji mwilini, inaupooza mwili na kuupa nguvu.


Virutubisho vilivyopo katika miwa vina manufaa makubwa katika kusaidia utendaji kazi wa ogani muhimu kama figo, moyo, ubongo na viungo vya uzazi.
Pia, wagonjwa wa kisukari wasihofie sukari iliyopo kwenye miwa kwani haina madhara yoyote kwao. Uzuri wa juisi ya miwa ni kuwa sukari yake ni halisia.​

Mradi wa ukamuaji juice ya miwa ni mradi ambao unakipato kizuri sana kwani miwa ni mingi sana Tanzania kiasi cha kuweza kupata super profit. Lakin pia watu wamepata elimu na kuwa na muamko sana katika kuweka miili yao katika ubora
Mashine nzur ni.zile ambazo zitatengenezwa kwa kuzingatia afya na usafi wa mashine. Watengenezaji wazuri.wanaozingatia ubora ni T.G.M designer ya mwanza 0683628498. Na T.M.W ya tabora.

kwa wahitaji wa mashine bora na imara kabisa sasa wanaweza wasiliana na hawa T.G.M DESIGNER NA T.M.W

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO VIJANA KATIKA UANZISHAJI WA MIRADI NA SULUHISHO LAKE

Kwa mda mrefu changamoto ya vijana ni mtaji, na hata mwenye mtaji hajui nini afanye. Wengi imepelekea kuishia kumaliza mitaji yao...