Ijumaa, 14 Julai 2017

STAND ZA VIATU

Kwa sasa Tumbo Makufuli workshop tunatengeneza stand za viatu za kijanja ambazo zinaendana na mazingira ya chumba chako na kukifanya cha kijanja na cha kisasa.
Kwa wahitaji warejareja na jumla tuwasiliane kwa simu no 0683628498, bei ni tsh 60000/= kwa rejareja na  50000/= kwa  jumla  

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO VIJANA KATIKA UANZISHAJI WA MIRADI NA SULUHISHO LAKE

Kwa mda mrefu changamoto ya vijana ni mtaji, na hata mwenye mtaji hajui nini afanye. Wengi imepelekea kuishia kumaliza mitaji yao...